Jinsi ya kutunza ngozi yako usipate chunusi | Dr. Caroline Masanje
Update: 2025-06-27
Description
Habari Rafiki, karibu kwenye episode mpya ya Doctor Rafiki Afrika, tukienda kuzungumzia suala zima la ngozi. Wiki hii tunaungana na Daktari bingwa wa masuala ya ngozi, Dr. Caroline Masanje tukiangazia jinsi au namna ya kutunza ngozi yako usipate chunusi.
Karibu Kusikiliza.
Unaweza kutuandikia maswali au maoni yako kupitia:
Email: dr.rafikiafrica@gmail.com
Comments
In Channel